Fagilia singer Mr. Nice was recently
in an ugly drama after he was caught with a twilight girl in Thika area. It had
reported that Mr. Nice reportedly woke up crying after the “call girl” made
away with his valuables, including his Iphone.
It was reported on Tuesday, July 25 that the
two linked up for some night of action only for him to wake up to find money
and his phone missing. He has since launched an investigation for the woman.
Mr. Nice has now addressed the issue saying he’s not regretting being with the
call girl.
“Mimi nadhani kitu cha muhimu kuzingatia kwa
wasanii wenzangu ni upendo. Waache unafiki wajue kuna leo na kesho. Wanapopata,
wajue kuwekeza maana unajua watu wanaongea mengi mara mr nice hela zake
amezitumia sana lakini watu hawajui ninavyovimiliki.”
“Wanaona naganga sasa hivi lakini
hawajui ni hela ile ile mliyonipa ndio mpaka sasa hivi. Huko niliko
inaniongezea zaidi bado kwa nyimbo zile zile.
Ndio maana wakenya wanasema hawana
haja na nyimbo zangu mpya wanasema wanataka ile ile fagilia.”
“Waheshimiane na wafanye kazi kwa
bidii maana muziki unaenda juu halafu unashuka chini. Kwa hiyo, hata kama kuna
msanii yupo juu kuliko wengine kama wanavyojiona wao, wasiamini hilo kwa sababu
saa yoyote mambo yanabadilika hata ulaya.”

No comments:
Post a Comment