Mr Nice unapologetic after he was found with prostitute at a lodging - elcrema

Hot

Post Top Ad

Mr Nice unapologetic after he was found with prostitute at a lodging



Fagilia singer Mr. Nice was recently in an ugly drama after he was caught with a twilight girl in Thika area. It had reported that Mr. Nice reportedly woke up crying after the “call girl” made away with his valuables, including his Iphone.

 It was reported on Tuesday, July 25 that the two linked up for some night of action only for him to wake up to find money and his phone missing. He has since launched an investigation for the woman. Mr. Nice has now addressed the issue saying he’s not regretting being with the call girl.

 “Mimi nadhani kitu cha muhimu kuzingatia kwa wasanii wenzangu ni upendo. Waache unafiki wajue kuna leo na kesho. Wanapopata, wajue kuwekeza maana unajua watu wanaongea mengi mara mr nice hela zake amezitumia sana lakini watu hawajui ninavyovimiliki.”

“Wanaona naganga sasa hivi lakini hawajui ni hela ile ile mliyonipa ndio mpaka sasa hivi. Huko niliko inaniongezea zaidi bado kwa nyimbo zile zile.

Ndio maana wakenya wanasema hawana haja na nyimbo zangu mpya wanasema wanataka ile ile fagilia.”
“Waheshimiane na wafanye kazi kwa bidii maana muziki unaenda juu halafu unashuka chini. Kwa hiyo, hata kama kuna msanii yupo juu kuliko wengine kama wanavyojiona wao, wasiamini hilo kwa sababu saa yoyote mambo yanabadilika hata ulaya.”

No comments:

Post a Comment